Neolife products

Neolife products Neolife products ni bidhaa ambazo zinatokana na vitu asilia hazina viambata sumu ndani yake. Bidhaa

Supper gro kwenye alizeti ni kibokoo Karibuni sanaa
25/04/2022

Supper gro kwenye alizeti ni kibokoo

Karibuni sanaa

Migomba hupandwa k**a ivo Sasa hiyo miche kabla ya kuipandikiza hapo shambani Mfano kesho unaenda kuipanda bas leo jion*...
25/04/2022

Migomba hupandwa k**a ivo
Sasa hiyo miche kabla ya kuipandikiza hapo shambani
Mfano kesho unaenda kuipanda bas leo jion
*Chukua maji yenye SuperGro mls 1 kwa maji lita moja k**a kawaida kisha loweka hayo mashina yako*
Kisha kesho yake peleka shamban kapande

Baada ya hapo utaratibu unaendelea mwagilia maji yenye *SuperGro* kila baada ya wiki moja kwa kiangazi na mara moja kila baada ya wiki mbili kwa masika
Lakini pia kila utakapotaka kupiga Sumu ya kuua wadudu au dawa za magonjwa ya ukungu hakikisha umechanganya na *SuperGro* kazi utakua ushaimaliza tukutane mavunoni 🔥🔥🔥🔥
*( _Bwana Shamba Shambani_ )*

*SUPER GRO*Super Gro ni Kirutubisho bora asilia cha Mimea kisicho na kemikali ambacho kilitengenezwa ili kuhakikisha uim...
08/04/2022

*SUPER GRO*

Super Gro ni Kirutubisho bora asilia cha Mimea kisicho na kemikali ambacho kilitengenezwa ili kuhakikisha uimarishaji wa mazao yako katika hali ya majira yoyote pia huongeza uzalishaji wa mazao kwa ubora wa hali ya juu kwa kilimo chochote. Kirutubisho hichi asilia chenye sifa kutoka kwa wakulima wote duniani ambacho kitaongeza mazao yako zaidi ya mara tatu unayoweza kupata kutoka kwa mbolea zingine za kemikali.

Super Gro ni bidhaa ya NEOLIFE, Hii ni kampuni ambayo kitaalamu inatengeneza na kusambaza duniani kote bidhaa za asili na lishe kwa binadamu na mimea .Super Gro ni kirutubisho cha maji kwa mimea ambacho hakina kemikali kabisa iliyoongezwa au kuchanganywa nayo,hiki kirutubisho ni salama kwa asilimia 100% kutumia kwenye mboga au mazao yoyote. Super Gro inaweza kutumika kwa mimea yoyote, mti, mboga na majani ambayo yanahitaji mbolea.

_HISTORIA_
Super Gro ilianzishwa karibu miaka 15 iliyopita kwenye Pwani ya Magharibi ya Afrika Kusini. Kiungo chake kikubwa kuwa ni mbolea ya seabird(aina ya ndege) hupata kukusanywa kutoka maeneo tofauti nane kando ya Pwani ya Magharibi chini ya usimamizi wa Uhifadhi wa Hali ya Afrika Kusini, ili kuhakikisha kwamba ndege hao wote wanaish kwenye mazingira mazuri bila uharibifu wa mazingira hayo wanayoishi.

Uzuri wa Super Gro ni kwamba haina kemikali au chembechembe inayo adhiri usalama wa afya ya binadamu kwa sababu haina mabaki ya kemikali ambayo yanaweza kubaki katika mazao ya kilimo ambayo inaweza kuweka maisha ya binadamu katika hatari katika mchakato wa matumizi . Hivyo basi,kutokua na kemikali hii mbolea ni rafiki kwa udongo wowote bila kuleta madhara.

*KAZI ZA SUPER GRO*
1>Kusaidia udongo kutunza unyevunyevu kwa muda mrefu(wetting agent) kwani Super Gro huvunjavunja uzio wa maji na kuruhusu kupenya hadi tabaka la 3 la udongo

2>Kuongeza uzalishaji kwa maana ya wingi na ubora wa mazao.

3>Husaidia mimea kufyonza virutubisho vilivyomo katika udongo hasa katika tabaka la 3 la udongo kwani hufanya mizizi ya mimea kupenya ktk tabaka hilo na kufyoza virutubisho vyote muhimu hivyo mimea kuwa imara na yenye afya

4> Kusaidia dawa za kuulia wadudu zisitiririke (Sticker)na zifanye kazi ipasavyo, hivyo kupunguza garama za dawa na pembejeo zingine za kilimo

5>Kupunguza garama za mbolea(hadi kufikia nusu) kwani kwa kutumia Super Gro utatakiwa kutumia kiac kidogo sana cha mbolea

6>Kufanya mimea iwe na rangi halisi ya ukijani kwani ukijani huo ndio unasaidia mmea kujitengenezea chakula chake

PID NI NINI?PID ni ugonjwa unaotokana na maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Na mara nyingi husababishwa na ma...
05/04/2022

PID NI NINI?
PID ni ugonjwa unaotokana na maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Na mara nyingi husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a vile gonorrhea na chlamydia. Mabali na njia hizi zipo njia nyengine zinazoeza kupelekea ugonjwa huu wa PID k**a vile mwanamme kuwa na wanawake wengi, maambukizi wakatie wa ujauzito na kujifungua, kutoa mimba , vitanzi n.k.

ZIFAHAMU DALILI ZA PID

*Maumivu makali ya tumbo hasa chini ya kitovu.
* Home za mara kwa mara.
*Kutokwa na uchafu wenye harufu was rangi ya maziwa mgando, kijani au njano.
*Kupata hali ya kichefuchefu na kutapika km mjamzito.
*Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa (kujamiiana).
*Kutokwa na damu wakati wa kujamiiana.
*Kuumwa na mgongo mara kwa mara.
*Kutokwa na usaha ukeni baadhi ya muda.
*Kupata maumivu wakati wa kukojoa.

PID inatibika km yalivo magonjwa mengine.

K**a ww NI muhanga was PID
Usiache kututafuta ili tukusaidie.

Call/wsp 0788 362265

MVURUGIKO WA HOMONI ''HORMONE IMBALANCE''MVURUGIKO was HOMONI za mwanamke ni kitendo Cha kuongezeka au kupungua kwa vich...
05/04/2022

MVURUGIKO WA HOMONI ''HORMONE IMBALANCE''
MVURUGIKO was HOMONI za mwanamke ni kitendo Cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili was mwanamke pale anapopata hedhi.
Mvurugiko huo humuathiri mwanamke kwa zaidi ya 80% ,asilimia kubwa ya wanawake huanza mabadiliko kati umri wa Mika 40 - 50 lakin pia mabadiliko hayo huweza yakajitokeza mapema zaidi kuanzia miaka 14.
Mabadiliko haya asilia hutokea wakati was baleghe, hedhi,ujauzito, kabala na baada ya ukomo was hedhi.
Mvurugiko huo wa homon kwa mwanamke husababishwa na kutokuwepo na usawa katika homoni za ESTROGEN, PROGESTERONE kupungua au kuzidi kwa homon hizo hupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.

K**a unatatizo la MVURUGIKO WA HOMONI " HORMONE IMBALANCE "

Usisite kuwasiliana nasi call/wsp +255 788 362 265

Address

Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Neolife products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share