Mwashi

Mwashi Respectful

01/07/2023

πŸš¨π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦ π—¬π—”π—‘π—šπ—” 𝗑𝗔 π—•π—˜π—‘π—žπ—œ 𝗬𝗔 𝗑𝗠𝗕

Ni rasmi sasa klabu ya Yanga na benki ya Nmb imeingia mkataba wenye mahusiano yafuatayo.

-Kuanzia kila mwananchi anaweza kujiunga kuwa mwanachama wa Yanga kupitia benki ya Nmb,na kadi yake atapata hapohapo.Ili kuongeza wigo wa wanachama wa Yanga Kwenye mfumo wa mabadiliko

-Yanga na Nmb pia wameingia mahusiano ambayo benki ya Nmb itakwenda kuwasaidia Yanga (Kuwekeza)kwenye miundombinu ya uwanja wa Yanga ambao unatarajiwa kuanza kujenga pale jangwani kaunda stadium.

Β©Rais Eng Hersi Ally Said

26/07/2022

Utajiri wa viungo wakabaji Yanga, Khalid Aucho, Yanick Bangala, Gael Bigirimana, Zawadi Mauya na Abubakar Salum.
Weka Comment yako hapo chiniπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

26/07/2022

Taarifa

26/07/2022

Eneo la kiungo la Simba litakuwa na Kapama, Mkude , Akpan, Chama, Mzamiru, Lwanga, Nyoni, Kanoute na Okwa. Hapo unanza na Utatu upi ?

26/07/2022

Swali ambalo linaumiza Sana watu Vichwa Ni kuhusu Huyu mwamba katumia njia gani mpaka Wote Wameelewana hivi..πŸ‘‡πŸ€¦ na Wakati
inajulikana kabisa Kuwa Kushare Mwanaume Mmoja Ni ngumu labda iwe kwa kuibiana kimyakimya bila Mwingine kujua ila Sasa Hapa Wote wanajuana Kuwa Wana,Share Mwanaume Mmoja..?🀦
Au jamaa atakuwa Ana,Hela Ndo Maana hawasumbui..?. Basi K**a Ni Hela mabaharia tutafuteni Hela Maana Ukiwa Na Hela Hata wawe wanne hawasumbui Pesa itawatulizaπŸ€¦πŸ€¦πŸ˜…πŸ‘‡

25/07/2022

π—”π—π—œπ—•π—¨ 𝗕𝗔π—₯𝗨𝗔 𝗬𝗔 #𝗧𝗙𝗙

"Nimeongea kwa zaidi ya saa moja kueleza mengi kuhusu kesi Yangu na jinsi shirikisho la soka Tanzania(TFF) hususan viongozi wake wakuu wanavyoendesha taasisi k**a mahak**a ya kuonea watu"

"Uharaka wa kujibu moja tu kati ya mengi niliyozungumza umetokea wapi ? Mbona hamjibu hoja mama ya kuhukumu watu bila kanuni kusajiliwa Serikalini ?"

"Mbona hamkufanya uharaka wa kujibu hoja ya uongo ya mabomu ya machozi ?!"

"Kwa nini msitumie uharaka huohuo kunipa NAKALA YA HUKUMU YANGU ili nipate fursa ya ku-appeal ? (Kukata rufaa)"

"Press release yenu inasema haitaki kujadili tena jambo hili, wakati hapo mshajadili tayari,, Shida ni nini ?!"

"Narudi, niko tayari kuhukumiwa na nyie life sentence lakini najua kesi yangu itakwenda kuset standard mpya za haki katika football"

"NB ; Kasajilini kanuni ndipo tuongee. Hakuna aliyejuu ya sheria ukiacha mamlaka ya Urais wa Nchi"

πŸ” Haji Sunday Manara

25/07/2022

😏

Address

Mbeya
Vikindu
TZ

Opening Hours

09:00 - 17:00

Telephone

+255622681052

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwashi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mwashi:

Share