Dolla Boyz sales

Dolla Boyz sales CAPE TOWN

KUNA WATU KUTULIZA MIKONO HAMUWEZI KABISA SASA NAWAPA SUGGESTIONS;1.  Avoid kupop chunusi na mikono hasa wenye kucha nde...
20/05/2025

KUNA WATU KUTULIZA MIKONO HAMUWEZI KABISA

SASA NAWAPA SUGGESTIONS;
1. Avoid kupop chunusi na mikono hasa wenye kucha ndefu au mikono ikiwa michafu.

2. Kwa usalama zaidi itoboe ikiwa imeiva.

3. Kuepusha kusambaa kwa bacteria na kuzaliana kwa acne mpya toboa na ukiminye bila kusambaza discharge.

4.tumia cotton buds k**a inavyonesha kwenye picha kuavoid kusambaza bacteria.

5. Unaweza deep cotton buds kwenye maji moto before uweke .

6. Every pop unatakiwa utumie new and fresh cotton buds usirudie rudie apo na moja utasambaza bacteria.

7. Usipake actives k**a salicylic avid au benzoyl piroxide kwenye sehemu uliyo tumbua. Kidonda kiache bila product aina yoyote uanweza fanya cold pressing ya icing tu usipakae kipozi chochote kwenye open wound ya acne.

8. Muda mzuri ni usiku . Inapunguza risk ya bacteria na chunusi mpya.
🔺MUHIMU ZAIDII USITUMBUE CHUNUSI K**A HAIJAIVA VIZUR,

🚩SIO KILA CHUNUSI NI YA KUTUMBUA ZINGINE NI NON INFLAMATORY HAZITOKI NJE ZINABAKI NDANI YA NGOZI K**A KIJIPU HIZO USITHUBUTU KUGUSA .BEST WAY NI KUTUMIA DAWA KUTOKA KWA WATALAMU WA NGOZI HOSPITALI.

Kwa zaidi karibu tukupatie products sahihi kwa acne skin ili kuepuka adha ya madoa na chunusi za kila siku.
0683195760

MATUMIZI YALIYOPITILIZA YA ACIDS KWENYE SKINCARE NDIO CHANZO KIKUBWA SANA CHA ACNE.MFANO MZURI WENZETU KOREA HAWATUMII A...
15/04/2025

MATUMIZI YALIYOPITILIZA YA ACIDS KWENYE SKINCARE NDIO CHANZO KIKUBWA SANA CHA ACNE.

MFANO MZURI WENZETU KOREA HAWATUMII ACTIVE ACIDS KWENYE ACNE HEALING WAO WAMEBASE SANA KWENYE SOOTHING AND HEALING PAMOJA NA HYDRATION.

NI RAHISI KUPONA NGOZI IKIWA HYDRATED, NA IKO HEALED AND INAFANYIWA SOOTHING.

For those products contact us kupitia

0683195760

AS MUCH AS UNAHANGAIKA SANA NA NGOZI NDIVYO UNAVYOZIDI KUHARIBIKA K**A NAONGEA UONGO COMMENT APO JINSI ULIPAKA PRODUCTS ...
15/04/2025

AS MUCH AS UNAHANGAIKA SANA NA NGOZI NDIVYO UNAVYOZIDI KUHARIBIKA K**A NAONGEA UONGO COMMENT APO JINSI ULIPAKA PRODUCTS 10 KWA PAMOJA NA UKAPONA NGOZI ! HAIWEZEKANJ.

NGOZI KUNA MDA INATAKIWA IPUMZIKE HASA K**A UNA ACNE NI UNAKUA UNAZIDISHA TU VIDONDA VIPYA KWENYE VYA ZAMANI NA KURISK EITHER NGOZI KUHARIBIKA ZAIDI AU KUPATA MADOA YA KUDUMU.

MADOA YA KUDUMU PIA YANACHANGIWA NA FUJO ZIKIZIDI KWENYE NGOZI.

NTAKUPA MFANO MWEPESI TU
ANNA ANAUMWA CHUNUSI ILA SASA UYO ANNA KILA KINACHO TREND ANACHO USONI NA KILA WEEK ANAENDA FACIAL NA KILA SIKU NYUMBAN ANAFANYA SCRUB LAKIN PIA ANNA KILA JUMATANO ANAPAKAA LIMAO NA MANJANO USONI NA KUNA MUDA. ANAPAKA COLGATE. NA AKIIFUMANIA RETINOL ANAPAKAA.

USO WA ANNA UMEHARIBIKA SKIN BARRIER NA UNAWASHA HATA AKINAWA TU NA MAJI AU AKISIMAMA JUANI.

ANNA ANATAKIWA UTULIZA BICHWA NA KOMWE MAANA SKIN BARRIER IMEHARIBIKA NA ILI IPONE ASOME NEXT POST.

MUHIMU TULIZA MOYO WAKO🤗

KABLA HAUJANUNUA BODY OIL YOYOTE HAKIKISHA INA OILS AMBAZO ZINAFANYA KAZI KWELI KWENYE NGOZI.KITU CHA KWANZA UNATAKIWA K...
02/04/2025

KABLA HAUJANUNUA BODY OIL YOYOTE HAKIKISHA INA OILS AMBAZO ZINAFANYA KAZI KWELI KWENYE NGOZI.

KITU CHA KWANZA UNATAKIWA KUJUA KILA MTU ANANGOZI KAVU MWILINI, YES NGOZI ZOTE ZA MWILINI NI KAVU.

TUONGELEE HII BOY OIL YA AVEENO AND KWANINI UCHAGUE HII ON YOUR ROUTINE.

HII BODY OIL SPRAY INA MAIN OIL MBILI AMBAZO NI JOJOBA OIL NA OATS OIL.

NITAKUPA FAIDA ZA HIZO OIL ALAFU WEWE UTACHAGUA K**A ITAKUFAA AU UTAACHANA NAYO.

1. OATS OIL NI ANTI AGING KWASABABU INAONGEZA UZALISHAJI WA COLLAGEN KWENYE NGOZI NA KUFANYA NGOZI ISIWE NA MIKUNJO YA NGOZI KUSINYAA K**A YA UZEE NA KUONGEZA SKIN ELASTICITY.
😖😖😖NGOZI ZA MWILINI ZINASINYAA KWASABABU YA KUKOSA ELASTICITY.

2. OATS OIL INA UWEZO MKUBWA SANA KWA KUZUIA NGOZI ISIHARIBIKE NA ISIWE KAVU HIVO KUFANYA NGOZI KUA NA MNG’AO WENYE AFYA NA ILE HALI YA NGOZJ KUPAUKA K**A RAMANI ZA UGANDA KUONDOKA.

3. OATS OIL IKO VYEMA SANA KWENYE KUSOOTH NGOZI NA HEALING ITS A GOOD ANTI INFLAMATORY OIL HASA KWENYE PUMU YA NGOZI AU WANAOWASHWA NGOZI.
Ni IDEAL SANA KWA KUPAKA SEHEMU SENSITIVE ZA MWILINI K**A KWAPANI NA BIKINI BAADA YA KUSHAVE AU KUFANYA WAXING.

4. OATS OIL NI EMMOLIENT KWA MAANA HAIZIBI TUNDU ZA NGOZI NA NI RAHISI KUPENYA KWENYE NGOZI KUFIKIA LAYER YA NDANI NA KUFANYA KAZI KWA UFASAHA ZAIDI.

PAMONA NA HAYO YOTE HII OIL INA JOJOBA AMBAYO NI MASTER OF HYDRATION, MOISTURIZING AND REPAIRING OF SKIN BARRIER. NA PIA NI ANTI OXIDANT.

JOJOBA OIL NI KATI YA OILS AMBAZO NI BEST SANA KWENYE NGOZI NA NYWELE NDIO MAANA KILA PRODUCTS ZA MWILINI HAZIKOSI JOJOBA AND THIS OIL IKO NA JOJOBA KWA KIKWANGO KIKUBWA SANA.

HUU MCHANGANYIKO WA JOJOBA OIL NA OATS OIL UNAIFANGA HII PRODUCT KUA ONE OF THE MOST EFFICIENT BODY OIL.

HAKUNA KITU KINATIA AIBU K**A NGOZI YA MWILINI ILIYOPAUKA K**A HUJAOGA WEEK AU UMEPENDEZA USONI MWILINI NGOZI IMEKAUKA MPAMA UKICHORA MSTARI UNATOKEA.

HAKUNA KITU PIA KINAUDHI K**A UMEPAKA BODY OILY ASUBUHI NYUMBANI LAKINI KITENDO CHA KUSHUKA TU DALADALA UMESHAPAUKA.

HII BODY OILY HUEZI KUMBANA NA AYO MAUDHI.
ONE APPLICATION STAYS FOR WHOLE DAY NGOZI INATELEZA.

UTAIPATA KWA TSH 60,000/=

Call/WhatsApp
0683195760

01/04/2025
12/03/2025
Darkspot correcting Glow serum 55,000/=tshA 5% Niacinamide-based serum that corrects dark spots and improves uneven skin...
06/03/2025

Darkspot correcting Glow serum
55,000/=tsh

A 5% Niacinamide-based serum that corrects dark spots and improves uneven skin tone. With the help of plant-derived Squalane, this serum retains moisture to keep your skin glowing and healthy wherever you go.

💚Hii ina vitu vyote muhimu kwa ngozi na kila kimoja kinafanya kazi yake kuhakikisha ngozi ina glow na kupata nuru yake.

💚Faida kuu ya hii ni kuondoa madoa na uweka uwiano wa rangi moja usoni.

💚Kingine ina lock in moisture hivo siku nzima ngozi yaku uhakika haito kua dehydrated and k**a mnavyojua skin hydration ni main key kwenye any glowing skin.

💚Inasaidia sana kucorrect skin color na kufanya ngozi iwe na rangi moja kote.

💚Inasaidia kumaintain mafuta usoni na ina fanya anti oxidation kwasababu ya uwepo wa niacinamide 5%
Inapunguza muonekano wa tundu usoni kwasababu ina niacinamide

💚Ina Squalane ambayo ina
Keeps skin young by fighting off free radicals. Inakufanya ngozi yako iwe moisturized na unyevu..

💚Ina Papaya ambayo kazi yake ni ku
Brightens sun damaged skin and dark eye circles

💚Ina allantoin pamoja na calendula.
💥Allantoin
Stimulates cell proliferation and encourages new tissue growth
💥Calendula
Speeds healing of blemishes and acne scars
Haiwezi kuleta miwasho usoni kwasababu calendule pamoja na Allantoin ambayo inafanya sana skin soothing and calming hivyo kuifanya best hata kwa wenye sensitive skin

💚Other ingredients
* Sea Buckthorn
Brightens skin and reduces spots
* Rice Bran
Smooths and brightens skin

Call/whatsapp
0683195760

ANZA NA LOWER PERCENTAGE 0.05/ 0.5,/0.1,/0.2Ngozi ikishazoea unaeza upgrade to 1 or 2 % KUNA WATU MNAPAMA RETINOLS HAZIN...
03/03/2025

ANZA NA LOWER PERCENTAGE 0.05/ 0.5,/0.1,/0.2
Ngozi ikishazoea unaeza upgrade to 1 or 2 %

KUNA WATU MNAPAMA RETINOLS HAZINA HATA PERCENTAGE YA CONCETRATION WENGINE UNAANZA NA 5% UKIZANI KUANZA NA KUBWA NDIO KUPATA RESULTS HARAKA.

IKIJA SWALA LA PERCENTAGE KWENYE RETINOLS KWA BIGINNER MORE PERCENTAGE MEANS MORE IRRITATIONS DEAR.

TAKE IT SLOW . ITS A RETINOL AND NI ACID WHAT DO YOU EXPECT 😩

PLEASE COME IN OUR SHOP TUKUPE MAELEKEZO MAZUR NA SALAMA YA MATUMIZI YA RETINOLS FOR BEGINNERS.

UKIHARIBU NGOZI NA RETINOLS TAKES LONGER AND MORE KUHEAL.

Call/ WhatsApp
0683195760

BEAUTY OF JOSEON Glow Replenishing Rice MilkHAKUNA KITU NAPENDA K**A MULTIPLE FUNCTIONS PRODUCTS ,Yes zile products amba...
26/02/2025

BEAUTY OF JOSEON Glow Replenishing Rice Milk
HAKUNA KITU NAPENDA K**A MULTIPLE FUNCTIONS PRODUCTS ,
Yes zile products ambazo zina kazi zaidi ya moja na hii itasaidia kudeal na many skin concerns ay once.

Hii milk toner ya mchele ina maina actives mbili ambazo ni
1. Rice Extracts
2. Rice amino acids
Hizi mbili kazi yake kuu kwenye ngozi ni k**a ifuatavyo:
🌾kudeal na uzalishaji mwingi wa mafuta
🌾kuzingatia unyevu wa ngozi kwa wingi
🌾Inatunza tundu za ngozi.

Utarajie nini ukiwa na hik toner?

1. Mafuta kwenye ngozi kupungua na tundu za ngozi kupungua mwonekano.
2. Pigmentation kupungua
3. Kupungua kwa wekundu usoni
4. Ngozi kung’aa
5. Ngozi kukaza usoni na kupunguza dalili za makunyazi usoni.
6. Kupungua sana kwa chunusi mpya kila siku.
7. Ngozi kung’aa

🌾Hizi zote ni faida utakazo pate utapotumia hii toner i mean why not hasa ukiwa unatumia mchele.

🌾mchele haujawahi disappoint kwenye skincare . anything that has rice inafanya kinachokusudiwa darlings .

Come get this in our shop for
🏷️65,000/=tsh

☎️ call/whatsApp
0683195760

NI VIZURI SANA UKATUMIA VITAMIN C AMBAYO INASIFA ZIFUATAZO ILI UPATE MATOKEO MAZURI SANA NA KWA HARAKA.1. ZINGATIA SANA ...
13/02/2025

NI VIZURI SANA UKATUMIA VITAMIN C AMBAYO INASIFA ZIFUATAZO ILI UPATE MATOKEO MAZURI SANA NA KWA HARAKA.

1. ZINGATIA SANA PACKAGING ISIWE INAPITISHA MWANGA KWA MAANA ITAPOTEZA NGUVU HARAKA

2.NUNUA VITAMIC YENYE AIRLESS PUMP KUZUIA HEWA ISIINGIE KWENYE SERUM IENDELEE KUWA BORA ZAIDI.

3. K**A UNACHUNUSI NUNUA STABLE VITAMIN C AMBAYO INAITWA ASCORBIC ACID PIA THOUGH UNATAKIWA KUA MWANGALIFU SIO RAFIKI SANA KWA MTU MWENYE CHUNUSI.

4. TUMIA SERUM ZENYE ACTIVES ZAIDI YA MOJA USITEGEMEE VITAMIN C PEKE YAKE.

5. KUNA SERUMS NYINGI AMBAZO ZINA ACTIVE ZAIDI YA MOJA NA ZINA VITAMIN C PIA KWA KIWANGO KIZURI TU.

ZINAPATIKANA DUKANI@KWETU KWA MAELEZO ZAIDI NA KUPRESS ORDER

CALL/WHATSAPP
0683195760

Address

Mfaranyaki
Songea
1969

Telephone

0710545475

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dolla Boyz sales posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share