Uwezo Media

Uwezo Media burudani zote na mastory ya kitaa hapa ndio mahala pake

Msumbiji wameanza,je na sisi lini tutakula matunda yetu?
12/05/2024

Msumbiji wameanza,je na sisi lini tutakula matunda yetu?

Vijana chamkieni furusa hii
12/05/2024

Vijana chamkieni furusa hii

tafakuriUkombozi wa FikraPumzika mwalimu JK Nyerere, dunia inakutambua mawazo yako yanaendelea kuishi vichwani mwetuMara...
09/12/2022

tafakuri

Ukombozi wa Fikra

Pumzika mwalimu JK Nyerere, dunia inakutambua mawazo yako yanaendelea kuishi vichwani mwetu

Mara baada ya kupata uhuru wa bendera, Mwl Julius Nyerere alielekeza nguvu katika ukombozi wa fikra. Mwalimu aliamini bila ukombozi wa fikra, watanzania wataendelea kuishi utumwani. Kwa hiyo alitumia elimu kupambana na utumwa wa fikra.

Alipeleka vijana wengi karibu kila kona ya dunia kuitafuta elimu. Lakini kwa bahati mbaya wengi wakaenda kupambana na mitihani badala ya utumwa wa fikra. Wakarudi na vyeti bila fikra za kimaendeleo na wakageuka kuwa tishio kwa rasilimali zetu.

Kwa ujumla juhudi zake za kutukomboa kifikra zikawa zimegonga mwamba. Mpaka anaiaga dunia Nyerere katuachia uhuru wa bendera tu. Uhuru ambao mwenye nacho ndiyo binadamu na asiyenacho ni taka taka.

Aliyesema umaskini wa watanzania uko kichwani kwakweli hajakosea. Maajabu tunayoyafanya yanathibitisha hivyo. Wapare wanakwambia ni heri kuchakaza nguo kuliko kuchakaza akili. Akili ikichakaa lazima utavunja rekodi katika kufanya maajabu. Leo hii tunawalamba miguu wezi wa rasilimali zetu. Hivi k**a haya siyo maajabu ni nini?

Watanzania tuko huru lakini uhuru wa bendera hautoshi. Uhuru wa bendera haufai hata kidogo. Uhuru wa bendera ni sawa na kuvaa suruali isiyo na zipo ukweni, utakuwa mtu mwenye wasiwasi, mashaka na aibu.

Uhuru wa bendera umetujengea wasiwasi, na nidhamu ya woga na mwisho wa siku watawala dhalimu kuendelea kutunyonya kutokana na wasi wasi wetu. K**a ilivyo kwa uhai wa samaki kwenye maji ndio ilivyo uhuru wa bendera kwa uhai wa wanyonyaji.

Ndiyo maana tunahitaji kuutafuta ukombozi wa fikra na mengine tutazidishiwa. Tuhakikishe kichwani panakuwa vizuri. Kichwani pakiwa vizuri hutakuwa na haja ya kukimbizana na samaki bwawani k**a unataka kuwatokomeza. Badala yake ni kuwakaushia maji yote na hapo utawak**ata kirahisi sana.

Fikra sahihihi zinahitaji utulivu wa akili. Fikra sahihi hazihitaji papara. Kuwa na muda wa kufikiria ndilo chimbuko la uvumbuzi na maendeleo yote duniani,

Kila uchwao KATIBA YA NCHI YETU INA CHEZEWA SANA,tena viongozi wa serikali ndo wanaongoza kuichezea, k**a wanaona haindani Na nyakati tulizo nazo basi twende tukaibadilishe,

Nimalizie kwa kuwaasa watanzania wenzangu kwamba, saa ya ukombozi wa fikra ni sasa. Tusitegemee k**a kuna mtu atakuja kutukomboa isipokuwa ni sisi wenyewe .

Bado naendelea kusoma nje ya darasa

Hatusomi maandiko?
26/01/2022

Hatusomi maandiko?

Achana na fanta kuna   πŸ€£πŸ€£πŸ˜‹πŸ˜‹ mwanangu k**a ujapata connection Mimi nakupa bure kbisa weka no ChapuπŸƒπŸƒπŸƒ
28/12/2021

Achana na fanta kuna πŸ€£πŸ€£πŸ˜‹πŸ˜‹ mwanangu k**a ujapata connection Mimi nakupa bure kbisa weka no ChapuπŸƒπŸƒπŸƒ

K**a umemtambua huyu dada kwa siku za usoni we pepo utaisikia tuDuuuh wanaume tuna kwama wapi!!!?
28/12/2021

K**a umemtambua huyu dada kwa siku za usoni we pepo utaisikia tu

Duuuh wanaume tuna kwama wapi!!!?

Imeandikwa Ndugu yanguFaraji Buriani Nandala Tukielekea kuumaliza mwaka 2021,kwangu mimi mwaka huu ulikua ni mwaka wa ma...
23/12/2021

Imeandikwa
Ndugu yangu

Faraji Buriani Nandala

Tukielekea kuumaliza mwaka 2021,kwangu mimi mwaka huu ulikua ni mwaka wa mapambano zaidi,mapambano ya kutimiza malengo ya muda mrefu ya kumiliki kampuni yangu binafsi.

Ni mwaka nilio timiza moja ya ndoto yangu ya muda mrefu ya kumiliki kampuni yangu binafsi ,Haya ni matokeo ya changamoto nyingi nilizo kutana nazo kwenye maisha yangu ya kuajiliwa kwenye taasisi mbalimbali.

Changamoto nilizo kutana nazo kwenye taasisi mbalimbali nilizo wahi kufanya kazi,zilinifanya nikomae kiakili na kunipa matamanio ya kujiajili mimi mwenyewe na ikiwezekana nitoe ajira kwa vijana wenzangu wanao angaika kila siku kutafuta ajira.

Inshaallah mwenyenzimungu amenibariki nimefanikiwa kusajili kampuni yangu binafsi ya ulinzi inayo itwa RESPECT SECURITY SOLUTIONS COMPANY LIMITED Respect Security Solutions Company Limited . Hii ni kampuni binafsi ya ulinzi iliyo sajiliwa kisheria na kupata ithibati ya kisheria ya kufanya shughuli za ulinzi binafsi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Makao makuu ya kampuni hii yako Masasi Town Council mtaa wa Jiddah karibu kabisa na ofisi za Mohammed enterprise.Kampuni hii kwa sasa inatoa huduma zote za ulinzi kwenye ofisi na taasisi mbalimbali za kiserikali na binafsi.Huduma zetu ni bora,za kisasa na zenye kuzingatia matakwa ya wateja na zinazo Linda maadili na tamaduni za kitanzania.

Gharama zetu ni nafuu zinazo tozwa kulingana na mahitaji na matakwa ya wateja wetu.Kampuni hii inavijana imara,wakak**avu na wenye nidhamu waliopata mafunzo kutoka jeshi la kujenga Taifa(JKT) na Jeshi la Akiba yaani Mgambo.Vijana hawa wamedahiliwa na kuchujwa kwenye chujio maalumu na kisha kuwapata vijana walio bora katika shughuli za ulinzi.

Kwa sasa tunatoa huduma za ulinzi kwenye ofisi mablimbali(ofisi binafsi na serikalini),tunatoa huduma za ulinzi kwenye viwanda,maghala,nyumba binafsi na kusimamia sherehe na mikutano mbalimbali. Kwetu mteja ni mfalme na tunaamini kwa pamoja tunaweza kuuweka ulimwengu kua sehemu salama ya kuishi.

Karibu tukuhudumie,
Karibu Respect Security Solutions Company Limited.

Ahsante.

Ndimi,
Faraji Buriani Nandala
Owner,CEO,Managing Director
Respect Security Solutions Company Lim

Huu Mti Mbegu Yake Iliangua Chini Ya Mwamba Lakini Kwa Kuwa Ni Mbegu Na Iliamuliwa Tangu Enzi Kuwa Itaota Na Kuzaa Matun...
17/12/2021

Huu Mti Mbegu Yake Iliangua Chini Ya Mwamba Lakini Kwa Kuwa Ni Mbegu Na Iliamuliwa Tangu Enzi Kuwa Itaota Na Kuzaa Matunda Haijalishi Ni Muda Gani Utatumia Kufika Ndoto Zako Haijalishi Ni Wangapi Wanakupiga Vita Ili Urudi Nyuma, Utaota Na Kutoa Matunda Usiogope Vikwazo Mbele Yako

LATRA YASHINDA KESI DHIDI YA MADEREVA KUHUSU VTSLabda sasa tutaona ajali zinazosababishwa na mwendokasi zikipungua ama k...
17/12/2021

LATRA YASHINDA KESI DHIDI YA MADEREVA KUHUSU VTS
Labda sasa tutaona ajali zinazosababishwa na mwendokasi zikipungua ama kwisha kabisa!!!



Ilemela Manispaa]] Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza imekamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 97 walivy...
16/12/2021

Ilemela Manispaa]] Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza imekamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 97 walivyopatiwa kiasi cha Sh. Bil. 1.9 kutoka katika fedha za Maendeleo na Ustawi na Mapambano dhdi ya UVIKO-19 tuungane na Ilemela Manispaa]] kusherekea mafanikio haya’ Ilemela Manispaa]] # #

Vidokezo muhimu kuhusu usalama barabarani πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ- Dhibiti mwendo kasi - Funga mkanda  - Usinywe pombe na kuendesha  - Vaa ...
16/12/2021

Vidokezo muhimu kuhusu usalama barabarani πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ
- Dhibiti mwendo kasi
- Funga mkanda
- Usinywe pombe na kuendesha
- Vaa Kofia ngumu/helmeti
- Usitumie simu

TAWLA Tanzania Women Lawyers Association
World Health Organization (WHO)
Elimu Ya Afya

Nukuu ya leoAmani yetu uhuru wetuKwa gharama yeyote tuulinde
09/12/2021

Nukuu ya leo

Amani yetu uhuru wetu

Kwa gharama yeyote tuulinde

Address

Nachingwea

Telephone

+255712337573

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uwezo Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Uwezo Media:

Share