Mkulima Market

Mkulima Market Mkulima Market ni fursa ya kuonesha na kuuza bidhaa za kilimo, ufugaji na uvuvi

18/09/2025

Vijana Mwanza Waishukuru Serikali na TADB kwa Msaada wa Zana na Mikopo ya Ufugaji Samaki\n\nVijana wafugaji wa samaki kwa njia ya vizimba katika Ziwa Victoria, jijini Mwanza, wameishukuru Serikali pamoja na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kuwapatia vitendea kazi na mikopo ya kuendeleza miradi yao.\n\nWamesema msaada huo umekuwa mkombozi mkubwa, kwani umewezesha vijana wengi kuanzisha na kuendesha shughuli za ufugaji samaki kwa ufanisi, hivyo kuongeza ajira na kipato kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza.\n\nKupitia mikopo na vifaa walivyopatiwa, vijana hao sasa wana uwezo wa kufuga samaki kwa kiwango kikubwa zaidi, jambo linalochangia kukuza uchumi wa kaya zao pamoja na kuinua sekta ya uvuvi nchini.\n

03/09/2025
03/09/2025

Kutoka kwa

>>Hayawi Hayawi Sasa Yamekuwa! Ni Mwezi Special Wa Wenye Mradi Wa Kuku Kufurahia.
Nb: Hii Ni TOFAUTI Kufuga Kuku Ni Kuishi Na Kuku Bali Mradi Wa Kuku Ni Kufanya Kwa Mikakati.
RASMI Kuku Anaanza Kujadiliwa NDANI Ya Bustani
Sasa… Una Machaguo Mawili!
Kubaki kuendelea Kujifunza Instagram Kila Siku…Lakini K**a Utataka Kupata Usaidizi Wa Karibu Pamoja na Mafunzo Ya Kina na Ya Haraka [Ili Uanzishe Mradi Wa Bustani Pamoja Na Kuku]
KATIKA Eneo Dogo Andika “Rich Home Garden” Kwenda 0761 825 808.

30/08/2025

Je nini Faida ya Maziwa kwa Kuku??

02/08/2025

🌿🇹🇿 MTOKO WA WAKULIMA 2025\n📍 6 Agosti – Dodoma
🌞 Mchana: Viwanja vya Nane Nane Mgeni Rasmi Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda
🌙 Usiku: Ukumbi wa Mabeyo
📺 LIVE kupitia Mchongo TV
Azam 019 | Startimes 134 | www.mchongotv.co.tznnWizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Kilimo Roundtable, Uchumi Institute na Mchongo Television wanakuletea tukio kubwa la fursa, maarifa na mitandao ya kweli katika kilimo, uvuvi na ufugaji.
🔥 Tunazima “hakuna ajira”
🔥 Tunawasha michongo halisi
🎫 TIKETI ZINAPATIKANA:
📍 Dar es Salaam:
Mbezi Beach Plaza – Kilimo Roundtable
Jagwani Plaza – Mchongo TV
Mikocheni B – Getstly
Millennium Tower Ghorofa ya 20 – Uchumi Institute
Maduka ya Vunja Bei – DSM
📍 Dodoma:
Nyerere Square – Kilimo Roundtable
Maduka ya Vunja Bei – Dodoma
📍 Mbeya: Uyole – Mwana wa Africa
📍 Songwe: Mlowo – Mwana wa Africa\n📍 Songea: Mjini – Mwana wa Africa
🛒 Nunua tiketi online hapa:
👉 https:kilimoroundtable.tukiio.com
event\/krta2025
📲 | | \n📞 +255 654 600 101\n\n

01/08/2025

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. PHILIP MPANGO AZINDUA MAONESHO YA NANENANE DODOMA\n\nDodoma, Agosti 1, 2025 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, leo ametembelea na kuzindua rasmi maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika jijini Dodoma.\n

25/07/2025

Mafanikio katika kilimo kwa vijana kupitia

KARIBU KUJISAJILI wa wa
11/07/2025

KARIBU KUJISAJILI wa wa

.movement
11/07/2025

.movement

Address

Kilimanjaro
Moshi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkulima Market posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mkulima Market:

Share