25/06/2018
PEPPERMINT(AINA MOJAWAPO YA MNANAA)
Kuna aina nyingi za mint
-spearmint
-sweetmint
-flovoured mint
-peppermint( mix ya sweetmint+spearmint)
peppermint ndio best mint
FAIZA ZA PEPPERMINT
a)KIAFYA
-INABORESHA AFYA YA INI, aina hii ya mnana ukiwa mkavu au mbichi
unasaidia mmengenyo wa chakula mwilini hii inasaidia kusaga mafuta na kutoa rehemu mbaya mwilini na uchafu hauwezi baki kwenye ini pamoja na sumu.
-INASAIDIA MMENG"ENYO WA CHAKULA NA INATIBU TATIZO LA KUTOPATA HAJA KUBWA
Mnana kwa masoko ya wahindi na masoko ya mbogamboga za kizungu huwa wanauza gharama sababu ni faida zilizomo kwenye huu mmea,Inasaidia chakula kusagika kiurahisi na watu wenya tatizo la kwenda haja huu ni mmea kwa ajili yao pia k**a unahisi tumbo limejaa chakula au gesi,chukua majani ya mnana tafuna uone maajabu yake
-INATIBU MAUMIVU YA KICHWA
-INASAIDIA KURUDISHA MEMORY
-INASAIDIA KUZUIA MAGONJWA YASABABISHWAYO NA BACTERIA
-INASAIDIA KUONDOA UCHOVU
-INASAIDIA KUZUIA CANCER
-INATOA HARUFU MBAYA YA KICHWA,Hakuna dawa ya meno isiyo na mint
-INATIBU MATATIZO YA MFUMO WA UPUMUAJI
-INASAIDIA WATU WENYE VIDONDA VYA TUMBO
-INASAIDIA KUPUNGUZA UZITO
-INASAIDIA MFUMO WA UZAZI HASA UGUMBA
-INASAIDIA KUPUNGUZA DEPRESSION NA MAWAZO
b)UREMBO
-INASADIA KUFANYA NGOZI IWE LAINI NA INAYOSHINE
-INASAIDIA KUTIBU MATATIZO MBALIMBALI YA NGOZI
-INAPONYESHA MBA KWENYE NYWELE
c)MATUMIZI MENGINEYO
-INATUMIKA KWENYE KUTENGENEZA CHOKOLATE NA MISHUMAA PIA KWENYE NA VINYWAJI VINGI
-INATUMIKA KUTENGEZEA BIDHAA ZA UREMBO
Pia kuna madhara ya mint,
-kwa sababu inasaidia digestion matumizi ya mint nyingi inasababia heartburn
-pia watu wenye aleji na mnana ,hii mint haiwafai
-Watoto wadogo hawashauriwi kutumia
JINSI YA KUILIMA PEPPERMINT
Inakubadi kwenye hali ya hewa aina zote,AGORA TUNAPROGRAM YA
(PANDA MIMEA TIBA USIPANDE MAUA AMBAYO HAYANA TIJA)
Peppermint inawezwa kulima kwenye beseni kubwa maana inamuda wa kutumiwa miaka 4 hadi 5,basi usipande kwenye eneo au chungu kilichobana nafasi
Ukitaka kulima kwa biashara wasiliana na agora team kwa elimu
vitu vichache ni kwamba
=Ekari moja inachukua miche 32,000/=
Ambayo inakuwa na spacing ya kati ya mstari na mstari ni cm 45 to 55cm,
na kati ya mstari na mstari ni cm 25 hadi cm 30
=Na uvunaga unafanyika ndani ya miaka 4 hadi 5,lakini ukomaa baada ya miezi mitatu
=ukitaka kulima herbs lazima uwe na shamba lako
=usipo tumia chemical unafanya mmea uwe vizuri zaidi ki afya
=Mbegu ya agora ya peppermint kwa wastani kwa akari unavuna
majani makavu ni 1.2 tonne
Mche wa agora peppermint herbs unauzwa sh 3000/=
Mteja akinunua mimea tiba ya 30,000/= usafiri ni bure
facebook:agora
insta:nseshiville
youtube:nseshiville
Tafadhali andika sms/au whatsapp 0679888961,0764837358