dk_sellertz

dk_sellertz Wauzaji wa electronics na vifaa vya majumbani k**a vile blender za umeme kwa matumizi ya majumbani n

OCTOBER OFFER (BIG SALE)PUNGUZO KUBWA LA BEI HAIJAWAHI KUTOKEAKaribu ujipatie 2 in 1 blender. Hii ni 2 in 1 kodtec blend...
21/10/2023

OCTOBER OFFER (BIG SALE)

PUNGUZO KUBWA LA BEI HAIJAWAHI KUTOKEA

Karibu ujipatie 2 in 1 blender. Hii ni 2 in 1 kodtec blender. Blender nzuri sana, imara na ya kisasa. Inasaga matunda na kutengeneza juice, inasaga vitu vikavu na vilaini. Nzuri sana kwa matumizi ya majumbani na biashara. Inakuja na warranty ya mwaka mzima. Karibu sana dukani kwetu.

Badala ya: 55,,000/=❌

Lipia: 45,000/= tu✅

Tupo magomeni mapipa
Tupigie/whatsapp: 0620714720

Delivery kwa wateja wa dar tunafanya na mikoani tunatuma na utalipia baada ya kupokea mzigo wako.

Karibuni!

OCTOBER OFFER (BIG SALE)PUNGUZO KUBWA LA BEI HAIJAWAHI KUTOKEA!.Njoo ujipatie Food processor and meat grinder. Ni mashin...
21/10/2023

OCTOBER OFFER (BIG SALE)

PUNGUZO KUBWA LA BEI HAIJAWAHI KUTOKEA!.

Njoo ujipatie Food processor and meat grinder. Ni mashine ya umeme inayosaga nyama, mbogamboga, matunda,, inatengeneza juice, na inasaga pia vyakula mbalimbali. Nzuri sana kwa matumizi ya majumbani, hii mashine ina nguvu zaidi ya blender.

Ni mashine imara na yenye nguvu sana, ina ujazo wa lita 2

Badala ya: 60,000/=❌

Lipia: 35,000/= tu✅

Tupo magomeni mapipa
0620714720

Delivery kwa wateja wa dar tunafanya na mikoani tunatuma na utalipia baada ya kupokea mzigo wako.

Karibuni!

We are openTunapatikana magomeni mapipa Tupigie/whatsapp 0620714720Delivery tunafanya na mikoani tunatuma na utalipia ba...
22/08/2023

We are open

Tunapatikana magomeni mapipa

Tupigie/whatsapp 0620714720

Delivery tunafanya na mikoani tunatuma na utalipia baada ya kupokea mzigo wako

Karibuni sana!..

4 IN 1 ABORDER JUICER AND BLENDER Ina sifa zifuatazo:-multi food processni rahisi kuitumiajuicer & blenderwatts 400ac 22...
19/08/2023

4 IN 1 ABORDER JUICER AND BLENDER

Ina sifa zifuatazo:-multi food processni rahisi kuitumiajuicer & blenderwatts 400ac 220-240v 50/60 hz 400wno motor burn out by circuit breakinakuja na warranty ya miaka miwili (2)

badala ya: 135,000/= ❌
Lipia: 125,000/= tu ✅

Tupo magomen mapipa

Delivery tunafanya kwa wateja wetu waliopo dar dar

Mikoani tunatuma na unalipia baada ya kupokea mzigo wako
0620714720

Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Unalipia hela ya nauli tu, unatumiwa mzigo wako, ukishapokea ndo utafanya malipo ya...
18/08/2023

Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
Unalipia hela ya nauli tu, unatumiwa mzigo wako, ukishapokea ndo utafanya malipo ya mzigo

Tupigie/whatsapp 0620714720

Tupo magomeni mapipa

Happy Saturday.Tupo magomeni mapipa Tupigie/whatsapp 0620714720Delivery tunafanya na mikoani tunatuma
12/08/2023

Happy Saturday.

Tupo magomeni mapipa

Tupigie/whatsapp 0620714720

Delivery tunafanya na mikoani tunatuma

06/08/2023
Blender ndogo za kisasa za kuchaji. Ni blender ndogo yani portable inayokuwezesha kusaga na kutengeneza juisi ya matunda...
06/08/2023

Blender ndogo za kisasa za kuchaji. Ni blender ndogo yani portable inayokuwezesha kusaga na kutengeneza juisi ya matunda mbalimbali bila kutegemea uwepo wa umeme, wala chujio ama glass ya kunywea, utatengeneza juisi na kunywa popote pale ulipo, iwe nyumbani, ofisini, njiani, chuo, safarini, gym, camp au vacation. Inatumia waya wa USB kuchaji hivyo unaweza kuchaji na umeme wa kawaida, solar, kwenye gari au kifaa chochote km laptop. Ni za kijanja sana, Na bei yake ni rahisi sana. zipo rangi mbalimbali. Karibu sana dukani kwetu.

Bei: 25,000/= tu ✅🔥

Tupo magomeni mapipa
Tucheki kwa namba 0620714720

ZUHNE  RICE COOKER~ Rice cooker imara na ya kisasa~ inapika wali, pilau, mbogamboga na vyakula vingine~ Ina sufuria imar...
03/08/2023

ZUHNE RICE COOKER

~ Rice cooker imara na ya kisasa

~ inapika wali, pilau, mbogamboga na vyakula vingine

~ Ina sufuria imara la kupikia chakula lisilounguza

~ Ina kava la nje lisiloshika kutu (stainless steel)

~ Ina uwezo wa kutunza joto la chakula baada ya kupika (keep warm)

~ Ina sufuria la kupikia lenye ujazo wa lita 1.8L

~ Ina watt 180

Bei: badala ya 85,000/= ❌
Lipia 70,000/= tu ✅🔥

Tupo magomeni mapipa, karibu sana dukani kwetu
Pia kwa wateja wa dar tunafanya delivery, mikoani na zanzibar tunatuma🔥

Tucheki kwa namba 0620714720📲

BIG SALE (OFFER OFFER OFFER)Jipatie Food processor and meat grinder yani mashine ya umeme inayosaga nyama, mbogamboga, m...
02/08/2023

BIG SALE (OFFER OFFER OFFER)

Jipatie Food processor and meat grinder yani mashine ya umeme inayosaga nyama, mbogamboga, matunda na vyakula vingine

Ni mashine imara sana na yenye nguvu

Badala ya: 60,000/=❌
Lipia: 35,000/= tu✅

Tupo magomeni mapipa
0620714720

Address

Kariakoo

Opening Hours

Monday 10:00 - 21:00
Tuesday 10:00 - 21:00
Wednesday 10:00 - 21:00
Thursday 10:00 - 21:00
Friday 10:00 - 21:00
Saturday 10:00 - 21:00
Sunday 10:00 - 20:00

Telephone

+255620714720

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when dk_sellertz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share