Abbyfar

Abbyfar Tunahusika na usambazaji wa bidhaa za chakula, vinywaji pamoja na za usafi.

04/05/2025

Habari njema ni kwamba hakuna kisicho na suluhisho kabisa! Labda iwe ni mauti lakini ukiwa hai suluhisho lipo. Kwako wewe unayetaka kupata kinga usiwe unashambuliwa na maambukizi ya bacteria au tayari ni muathirika kwa namna moja ama nyingine k**a nilivyoonesha post ya nyuma. Basi hili ndio suluhisho lenyewe. Tutafute kwenda namba 0757321985 kupata msaada zaidi

04/05/2025

Dalili za kuwa tayari una maambukizi katika kizazi chako ni hizo hapo juu…na hizo ni baadhi ambazo ndio huwapata wengi! Ukiona tu una hizo dalili chap muone daktari atakusaidia kuepukana na madhara makubwa kwa baadae…wahenga wanasema kinga ni bora zaidi kuliko tiba. Nini maana yake ni kheri ujikinge kuliko ujikute katikati ya matatizo makubwa yasiyotibika na ukajikuta unatumia gharama kubwa au hata kupoteza maisha.

04/05/2025

Maambukizi haya yatokanayo na Bakteria wabaya huathiri nini katika kizazi?
Fuatilia vyema post hii utaona kwa ufupi sana maeneo yanayoweza kuathirika endapo hautapata matibabu mapema.
Inaweza kuwa kwa kuchelewa kutibiwa au huwa ukipewa dawa haumalizi dose au unaona aibu kujielezea tatizo lako kwa daktari…

04/05/2025

Maambukizi katika kizazi ni moja ya sababu zinazoweza kufanya ukashindwa kuitwa mama…endelea post inayofata kwa ufafanuzi!

Jiamini na kuwa na Imani ya uwezo wako ulionao. Kila siku ni Fursa mpya ya kuanza upya na kufuata Ndoto zako kwa kujiami...
10/04/2024

Jiamini na kuwa na Imani ya uwezo wako ulionao. Kila siku ni Fursa mpya ya kuanza upya na kufuata Ndoto zako kwa kujiamini yaani Kifua mbele… uwe na sikukuu njema ya Eid…

Unapokuwa umepata msukumo wa kufanya jambo Fulani hakikisha haupotezi hiyo ari ndani yako. Usiruhusu mtu au kitu chochot...
11/02/2024

Unapokuwa umepata msukumo wa kufanya jambo Fulani hakikisha haupotezi hiyo ari ndani yako. Usiruhusu mtu au kitu chochote kikutoe kwenye huo msukumo ulio ndani yako. Sababu kuna mtu anakuja anakuambia nilikuwa nataka kufanya hivi na vile lakini rafiki yangu, dada yangu, sijui kaka, aliniambia haiwezekani kufanyika hivyo nikaishia njiani…

10/02/2024
Furaha ya maisha ni mpaka pale utakapoweza wainua wengine au kuwasaidia wengine kupata wanachokitaka katika maisha…
10/02/2024

Furaha ya maisha ni mpaka pale utakapoweza wainua wengine au kuwasaidia wengine kupata wanachokitaka katika maisha…

BF SUMA for life…hatua moja mbele ni ✈️✈️✈️✈️✈️
09/02/2024

BF SUMA for life…hatua moja mbele ni ✈️✈️✈️✈️✈️

Jitahidi ufahamu kusudi lako maana ndio ufunguo wa mafanikio yako….
20/01/2024

Jitahidi ufahamu kusudi lako maana ndio ufunguo wa mafanikio yako….

Mawe kwenye figo, au calculi ya figo, husababishwa na uwepo wa chumvi na madini fulani katika mkojo ambayo hujikusanya n...
25/10/2023

Mawe kwenye figo, au calculi ya figo, husababishwa na uwepo wa chumvi na madini fulani katika mkojo ambayo hujikusanya na kuunda mawe. Kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia katika kuundwa kwa mawe kwenye figo:

1. Utaratibu wa kiafya: Iwapo mkojo una viwango vya juu cha chumvi na madini k**a vile kalsiamu, oxalate, au asidi ya uric, basi hatari ya kuunda mawe kwenye figo huongezeka. Hali hii inaweza kusababishwa na sababu za urithi, mabadiliko katika mlo, au matatizo ya kimetaboliki.

2. Upungufu wa maji mwilini: Kunywa maji kidogo sana au upungufu wa maji mwilini kunaweza kusababisha mkojo kuwa mkolezi na kuongeza uwezekano wa kuundwa kwa mawe kwenye figo.

3. Maambukizo ya mkojo: Maambukizo katika njia ya mkojo yanaweza kuongeza hatari ya kuundwa kwa mawe kwenye figo. Bakteria wanaoshambulia figo yanaweza kubadilisha muundo wa kemikali katika mkojo na kuwa sehemu ya kuanzisha mawe.

4. Matatizo ya kimaumbile: Baadhi ya watu wanaweza kuwa na kasoro za maumbile ambazo zinaweza kuongeza hatari ya kuundwa kwa mawe kwenye figo. Hali k**a vile cystic kidney disease na hyperoxaluria ni mifano ya matatizo ya kimaumbile yanayohusishwa na mawe kwenye figo.

5. Historia ya familia: Kuwepo kwa historia ya mawe kwenye figo katika familia yako kunaweza kuongeza hatari yako ya kuwa na mawe kwenye figo. Hii inaweza kuwa kutokana na urithi wa tabia za kimetaboliki au maumbile yanayohusiana na mawe kwenye figo.

Ni muhimu kutambua kuwa sababu za kuunda mawe kwenye figo zinaweza kutofautiana kwa kila mtu. Ikiwa una wasiwasi au una dalili zinazowezekana za mawe kwenye figo, ni muhimu kushauriana na daktari wako ili kupata uchunguzi na ushauri sahihi.

Kwa maelezo zaidi usisite kututafuta kwenda Namba 0756321985
K**a tayari ni mwenye changamoto za Figo weka appointment yako mapema kuonana na Mtaalam wetu uweze kupata suluhisho la kudumu…

Jambo,Ninaamini kwamba wewe ni mfanya biashara mwenye nguvu, mwenye uwezo, na mwenye shauku. Unachukua hatari kwa ujasir...
25/10/2023

Jambo,

Ninaamini kwamba wewe ni mfanya biashara mwenye nguvu, mwenye uwezo, na mwenye shauku. Unachukua hatari kwa ujasiri, unaunda fursa, na unachangia kwa kiasi kikubwa katika uchumi wa jamii yako.

Kumbuka kuwa kila changamoto unayokutana nayo ni fursa ya kujifunza na kukua. Usikate tamaa wakati mambo yanapokwenda vibaya. Badala yake, unapaswa kutumia changamoto hizo k**a fursa za kuboresha na kujifunza.

Hakuna njia rahisi ya mafanikio. Itachukua muda, kujitolea, na kazi ngumu. Lakini kumbuka, kila hatua uliyochukua, kila wakati ulioweka katika biashara yako, huongeza uwezekano wako wa mafanikio.

Kila siku, unafanya tofauti. Biashara yako inaathiri maisha ya watu kila siku, iwe ni wateja wako, wafanyakazi wako, au jamii yako kwa ujumla.

Endelea kuwa na bidii, uvumilivu, na ujasiri. Mafanikio yako yako mbele. Usikate tamaa na uendelee kusonga mbele. Hakuna kinachoweza kukuzuia isipokuwa wewe mwenyewe.

Nakutakia kila la kheri na mafanikio katika biashara yako.

Address

Dodoma
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255625502485

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Abbyfar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Abbyfar:

Share