CityMax BookShop

CityMax BookShop Fast Trust, Quality Services

JENGA UWEZO, ONGEZA MAPATOMpenyo wa PasakaHabari ndugu mpendwa! Umepanga kufanya nini Pasaka Holiday? Tafadhali,ninakusi...
18/04/2025

JENGA UWEZO, ONGEZA MAPATO

Mpenyo wa Pasaka

Habari ndugu mpendwa! Umepanga kufanya nini Pasaka Holiday? Tafadhali,ninakusihi utumie muda huu kujitafakari;
👉Je,nini kusudi langu la kuzaliwa?
👉Ninataka kuwa nani?
👉Je,nifanye nini ili kuongeza UFANISI, UBORA na TIJA?

Leo ningependa ku-share na wewe siri kuu 7 za Mafanikio zilizojificha katika Falsafa ya ThinkSMARRTT
🎯S-search for your PURPOSE
🎯M-maintain your DETERMINATION
🎯A-action PLAN
🎯R-rationalize (Value/Quality)
🎯R-read for Soft Skills (Soar)
🎯T-take CONTROL
🎯T-train others (legacy,reproduce,distribute).

Ninakusihi utumie Pasaka holiday kusoma kitabu cha Jenga Uwezo👆 ili kuelewa kwa kina Falsafa ya ThinkSMARRTT ili kujenga UWEZO wako, kujiongezea thamani na kuishi ndoto yako.Hakika Mafanikio ni matokeo.

Pata nakala yako leo👆 Lipia kwenda namba 0767129875(Godian Dyanka) Kisha tuma uthibitisho wa muamala ili utumiwe nakala yako.

Kataa Kuwa Mtu wa Kawaida. Kuwa Mtu wa Tofauti UNAWEZA

By Godian Dyanka # (QHSE) Consultant & Author🤝

HIVI NDIVYO TULIVYO WASAIDIA WATU WENGI KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA.Naamini neno mafanikio siyo neno geni kwako na umeshaji...
06/03/2025

HIVI NDIVYO TULIVYO WASAIDIA WATU WENGI KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA.

Naamini neno mafanikio siyo neno geni kwako na umeshajitamkia sana kuwa unahitaji kufikia mafanikio makubwa.... Lakini je, unajua siri ya kufikia mafanikio yako?
...Leo nakupa siri hii ambayo itakusaidia kufanikisha malengo na maono yako makubwa uliyonayo.

Siri hiyo ni *MAARIFA* , unapaswa kuwa na maarifa sahihi pamoja na usimamizi utakaokusaidia kujenga ujuzi na kuwa na mwendelezo wa kutafuta mafanikio unayoyahitaji.

Ili kupata mahitaji sahihi ya kufanikisha malengo yako Citymax bookshop Tanzania tuna vitabu vyenye maarifa sahihi ya kujenga uwezo wako, kubadili mtazamo wako, kujenga nidhamu ya fedha pamoja na kujenga fikra sahihi za mafanikio.

Naamini wewe ni mtu unayehitaji kufikia mafanikio makubwa na ili uweze kufanikisha hayo nakushauri uwasiliane nasi ili tukusaidie vitabu sahihi kulingana na eneo lako unalohitaji kufanikiwa.

UTAPATA FAIDA ZIFUATAZO;
1. Tutakushauri aina ya kitabu cha kusoma kulingana na eneo lako unalohitaji kufanikiwa.
2. Utapata huduma ya usimamizi ya usomaji wa vitabu kwa siku 100 hadi miaka mitatu.
3. Utapata usimamizi wa kuweka akiba kuanzia siku 100 hadi miaka mitatu.
4. Utapata ushauri na usimamizi wa biashara/kazi ili kupata mafanikio makubwa.

Tutakusaidia kupata vitabu vyote unavyohitaji vya waandishi wa ndani na nje ya Tanzania kwa lugha ya kiingereza na kiswahili.

Ili kupata manufaa haya wasiliana nasi kwa 0753690907 au 0755100502

Tunapatikana Dar es saalam, Dodoma na Iringa pia utaagiziwa popote ulipo Tanzania na nje ya nchi.

Champion wa NGUVU
16/12/2024

Champion wa NGUVU

SEMINA YA NGUVU YA MALENGO DODOMA MJINI TAREHE 21.12.2024 KATIKA UKUMBI WA CAVILAM HALL ULIOPO IRINGA ROAD.
15/12/2024

SEMINA YA NGUVU YA MALENGO DODOMA MJINI TAREHE 21.12.2024 KATIKA UKUMBI WA CAVILAM HALL ULIOPO IRINGA ROAD.

The Law of success kinapatikana citymax bookshop Tanzania 0753-690907 au 0755100502 0755100503
14/12/2024

The Law of success kinapatikana citymax bookshop Tanzania 0753-690907 au 0755100502 0755100503

The power of subconscious mind kinapatikana citymax bookshop Tanzania
14/12/2024

The power of subconscious mind kinapatikana citymax bookshop Tanzania

*NGUVU YA MALENGO 2025**Semina,Semina,Semina Dodoma*🇹🇿🔥📢🤝Na Wakufunzi;1. GODIAN DYANKA2. PATSON CHAULA3. VICTOR MWAMBENE...
14/12/2024

*NGUVU YA MALENGO 2025*

*Semina,Semina,Semina Dodoma*🇹🇿🔥📢🤝

Na Wakufunzi;
1. GODIAN DYANKA
2. PATSON CHAULA
3. VICTOR MWAMBENE
4. GLORY KWAYU
5. MGENI RASMI KATIKA TUKIO HILO NI MH. GODFREY PINDA (NAIBU WAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI.)

Malengo humuwezesha mtu kutawala na kudhibiti maisha yake "Sense of Control" Kuishi bila malengo ni kuchagua kuishi k**a nyani na kukubali kuwa mtumwa wa ndoto za watu wengine.*Weka Malengo,tawala na kudhibiti maisha yako*

*Kumbuka:* Umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu na kupewa kipaji,talanta na uwezo maalumu.UNAWEZA!

Ndugu mpambanaji, sasa ni wakati sahihi kupata mafunzo sahihi kutoka wataalamu na wazoefu ili kujifunza *Siri, Kanuni na Mbinu* za Mafanikio ili kukujengea UWEZO na kuishi ndoto yako.

Hakika hii ni semina adhimu,hakikisha unahudhuria ili ubadili maisha yako.

UKUMBI: Kavilam Social Hall
TAREHE: 21/12/2024
MUDA: 3:00ASB-11:00JIN

Chukua hatua leo, JISAJILI kwa kubofya link hii👇
https://chat.whatsapp.com/CLmVQ4JTccC42GpSRX2h80

*Kataa Kuwa Mtu wa Kawaida, Kuwa Mtu wa Tofauti* UNAWEZA!

Tukutane Dodoma💪

*ThinkSMARRTT!* Pamoja Tunaweza Zaidi 👍🎯👑

SEMINA YA NGUVU YA MALENGO DODOMA MJINI TAREHE 21.12.2024 KATIKA UKUMBI WA CAVILAM HALL ULIOPO IRINGA ROAD
14/12/2024

SEMINA YA NGUVU YA MALENGO DODOMA MJINI TAREHE 21.12.2024 KATIKA UKUMBI WA CAVILAM HALL ULIOPO IRINGA ROAD

Address

321
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CityMax BookShop posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to CityMax BookShop:

Share

Category