Donyo Tz

Donyo Tz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Donyo Tz, Shopping & retail, Philmonsafar@gmail. com, Dar es Salaam.

10/01/2023

Kamati ya sheria na hadhi za Wachezaji ya TFF imemuita Mchezaji Feisal Salum kwenye kikao kesho January 4, 2023 baada ya Yanga kupeleka malalamiko yake ya kimkataba dhidi ya Mchezaji huyo, haya yamejulikana baada ya barua ya wito huo wa TFF kuvuja mitandaoni.

Feisal anaripotiwa kuvunja mkataba na Yanga kwa kutumia kipengele kilichopo kwenye mkataba wake cha kuvunja mkataba kwa kurudisha Tsh milioni 112 ambazo ni pesa ya usajili na mishahara ya miezi mitatu.

Yanga bado hawajakubaliana na namna Feisal alivyovunja mkataba wake japokuwa kwa sasa zipo fununu kuwa Feisal amepelekwa Dubai na Mmiliki wa Azam FC Yusuf Bakhressa kwa ajili ya kujiweka sawa kabla ya kujiunga na Azam FC.

Humble man
04/01/2023

Humble man

Address

Philmonsafar@gmail. Com
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Donyo Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share