14/07/2021
Kwenye sandals ndio kabisa, yaani upele umepata mkunaji!! Hatubahatishi! TunaDesign kulingana na hitaji lako mteja wetu, Tunampa producer kile unachokitaka, na tunahakikisha viwango vimefikiwa ndio tunakuletea sokoni. Kwanini tunafanya hivyo?? Kwasababu yako wewe mteja wetu, tunajali thamani ya pesa yako, tunajali afya yako, hatuwezi kukuvalisha sandal ya kukuumiza unyayo wako halafu ushindwe kutembea, hatupo tu kwa sababu ya kupata fedha, bali kukuhudumia, upendeze, ufurahie huduma yetu, uokoe fedha zako, uonekane nadhifu wakati wote.
Na sasa, kuna OFA Kabambe, Share na Like page zetu za Insta na Facebook, tunakupa punguzo la 5%, na ukimleta rafiki yako, tunakupa punguzo la 5% tena. Unangoja nini rafiki? tuagize tukuhudumie popote ulipo.