03/09/2023
Simu ikipata hitirafu inapunguza ufanisi wa kazi na raha ya kuitumia😔 mara nyingine inaweza kushindwa tumika kabisaa,
Tunatambua wengi wetu tunatumia simu kwa mambo mbalimbali ikiwemo hata kuendesha mawasiliano ya biashara ,kujulia hali ndugu na jamaa mara nyingine hata kuburudisha nafsii.
Shop Andfix iphones tumeanza kutoa huduma ya marekebisho ya simu janja [iphones] kwa bei nafuu na usalama wa kutosha wa kifaa chako.
Tunazingatia uaminifuu , gharama nafuu, na usalama wa simu yako .
Ofisi ipo k/koo mtaa wa Agrey karibu na Valentino hotel
> mawasiliano ni 0756536009
Calls and whatsapp
📱