17/02/2020
PID
Ugonjwa wa Maambukizi
PID ni nni?
PID ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya k**e. Magonjwa ya maambukizi ya PID yanaweza kusababisha uharibifu wa wa kizazi, mirija ya uzazi,mayai na sehemu nyingine za njia za uzazi wa k**e ambayo ni sababu kuu ya kupata ugumba kwa wanawake.Inatokeawakati bacteria wa magonjwa ya kujamiana huingia ndani ya uke, kisha huenea ndani ya kizazi,mirija ya uzazi(fallopian tube) au ovari.
DALILI ZA PID
Dalili za PID zinaweza kuwa:
√ maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo.
√ maumivu wakati wa kukojoa.
√ maumivu wakati wa tendo la ndoa.
√ maumivu ya kiuno.
√ homa na uchovu.
√ kuharisha na kutapika.
√ Kutokwa na uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine unaharufu isiyo ya kawaida.
√ maumivu ya chini au upande wa kulia.
VISABABISHI VYA PID
Kwa kawaida mlango wa uzazi (cervix) inazuia bacteria ambao wameingia ukeni wasisambae sehemu zingine za ndani za uzazi k**a mlango wa uzazi cervix umepatwa na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiaana k**a kisonono na chlamydia.Mlango huo wa uzazi cervix unaathirika na unakuwa na uwezo mdogo wa kuzuia kusambaa kwa bacteria sehemu za ndani za uzazi. PID inatokea pale vimelea vya magonjwa vinaposafiri kutoka kwenye mlango wa uzazi cervix kwenda sehemu za juu za uzazi. Asilimia 90 ya PID husababishwa kutokutibiwa ugonjwa wa kisonono na chlamydia.kutoa mimba au mimba kuharibika.
ONDOA WASIWASI PID HAINA NGUVU TENA WASILIANA NASI 0754682949.