Brave son tz

Brave son tz I'm mbeya boy wisdom + discipline=well success

09/11/2019

KAZI NI KAZI hata k**a kipato ni kidogo rizika nacho.kuliko kufanya maamuzi magumu kwa kujiingiza kufanya mambo halamu.

03/11/2019

Siku zote jasiri hana mpaka ktk kujiokoa na kutetea wengine wawapo ktk majanga mazito.pia kufeli ktk utetezi wake sio rahisi kwani hufanikiwa kwa kishindo kikubwa.ni sawa na baba kwa mwanae wawapo msituni kupambana na wanyama hatari.hufanya juu chini kumuokoa mwanae asijeruhiwe na hao wanyama.pia nae kijana huyo huonyesha ujasiri kwa kujitetea kupitia mbio na silaha atakayo rushiwa na baba yake ili apambane na Huyo mnyama hatari na hatimaye hufanikiwa.hivyo hata maisha yana hitaji ujasiri ili mafanikio yawe bora.kwani wahenga husema " unaposhikiliwa na wewe shikilia kweli ili usiporomokee kolongoni

Maisha ni safari ndefu ingawa ukomo wake inategemeana na mavuno ya matendo ya mhusika mwenyewe.k**a ametenda mema ktk sa...
03/11/2019

Maisha ni safari ndefu ingawa ukomo wake inategemeana na mavuno ya matendo ya mhusika mwenyewe.k**a ametenda mema ktk safari yake peponi pamuita kwa ndelemo na vifijo.ila k**a ametenda maovu jehanamu pamngoja kwa moshi na moto mzito usio na kikomo.

KAZI YANGU NDIO MAISHA YANGU AMBAYO NA MTEGEMEA MUNGU ZAIDI
01/11/2019

KAZI YANGU NDIO MAISHA YANGU AMBAYO NA MTEGEMEA MUNGU ZAIDI

14/10/2019
14/10/2019

Watu wangu nawatakia uxiku mwema na mungu awalinde

Address

Tukuyu
Mbeya
700700

Telephone

0769542339

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Brave son tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share