Mr. Asali Mbichi

Mr. Asali Mbichi Tunauza Asali mbichi kutoka Mbeya, Njombe na Singida, ni asali halisi ambayo haijaongezwa au kuchanganywa na kitu chochote.

Ukihitaji bidhaa yetu hii tutakufikishia mpaka mlangoni pako bure. Tunapatikana Mbezi Makabe, Tabata na Kiwalani Dar es Salaam.

TUMERUDI KWA KISHINDOKaribuni kwa ASALI Bora na halisi kutoka JAMBO ASALI. Ni asali iliyoandaliwa katika mazingira safi ...
09/04/2025

TUMERUDI KWA KISHINDO

Karibuni kwa ASALI Bora na halisi kutoka JAMBO ASALI. Ni asali iliyoandaliwa katika mazingira safi kwa kujali afya za wateja wetu.

Tunapatikana SINZA, DSM.

Wasiliana na Afisa Mauzo wetu kwa namba:

0625 859 830

KARIBU SANA MTEJA

20/06/2022

Soon mitaa ya Mbeya Jiji itaanza kusambaziwa Asali kutoka kwa Mr. Asali Mbichi

24/12/2021

MbeyaMbeya Mbeya

Karibuni kwa ASALI YA NYUKI WADOGO
nitakuletea popote ulipo ndani ya Jiji la Mbeya

0753504470

Asali mbichi 0753504470
21/11/2021

Asali mbichi 0753504470

29/09/2021

Asali Mbichi sasa ni kwa bei RAFIKI

Ni ASALI BORA toka kwa Mr. Asali Mbichi

NYUKI WAKUBWA
Lita 1-13,000

NYUKI WADOGO
Lita 1-35,000

Agiza nitakuletea ulipo kwa hapa DAR / free delivery.

Contancts:
0753504470
0713892438

MAJI YA UVUGUVUGU NA ASALI Mbichi Anza siku yako kwa kunywa MAJI YA UVUGUVUGU yaliyochangwa na Asali Mbichi  kila siku a...
28/09/2021

MAJI YA UVUGUVUGU NA ASALI Mbichi

Anza siku yako kwa kunywa MAJI YA UVUGUVUGU yaliyochangwa na Asali Mbichi kila siku asubuhi na mapema wakati tumbo likiwa tupu, kuna faida nyingi sana k**a vile:-

1. KUPUNGUZA UZITO
2. KUUPA MWILI NGUVU HARAKA
3. KUONGEZA KASI YA KUMENG'ENYA CHAKULA
4. INASAIDIA KUSAFISHA KIBOFU CHA MKOJO NA KUKUKINGA NA MAGONJWA K**A UTI

Kwa mahitaji ya ASALI MBICHI ya NYUKI WADOGO na WAKUBWA wasiliana nasi kwa namba 0753504470/0713892438,
Tupo Dar es Salaam

Asali Mbichi huimarisha afya yako

IJUE LADHA YA ASALI YA NYUKI WADOGO *Kwa mahitaji ya ASALI YA NYUKI WADOGO wasiliana nasi 0753504470/0713892438**Tunapat...
16/09/2021

IJUE LADHA YA ASALI YA NYUKI WADOGO

*Kwa mahitaji ya ASALI YA NYUKI WADOGO wasiliana nasi 0753504470/0713892438*

*Tunapatikana Mbezi Makabe, Dar es Salaam*

Kwa wale wasiojua ni kua ASALI YA NYUKI WADOGO ina ladha tofauti kabisa ukilinganisha na ASALI YA NYUKI WAKUBWA.

Asali hii ina ladha ambayo ni TAMU(sweet) na CHACHU( sour) kwa pamoja, au wengi tumezoea kusema ina ladha k**a ya LIMAO kwa mbali.

JE NINI KINASABABISHA LADHA HIYO??

Jibu ni PLANT RESINS( au kiswahili RESINI), huu ni ute ute ambao unatolewa na miti( angalia picha utaona, wengi wetu tumeshauona kwenye miti) na kuchukuliwa na NYUKI WADOGO ili

1. Kutengeneza ulinzi wa makao yao( hutumia kuk**atia wadudu na kuziba sehemu zilizo wazi)

2. Hutumia katika kutengenezea VIBUYU VYA KUWEKEA ASALI( nyuki wadogo huweka asali yao kwenye vyumba mfano wa vibuyu)

Kwa sababu hiyo bila kujua ASALI YA NYUKI WADOGO inaishia kuchukua ladha ya RESINS na kuifanya kua na ladha adimu kabisa.

ASALI YA NYUKI WADOGOKwanini ununue asali kwetu??1. Unapata asali halisi2. Asali iliyoandaliwa ktk mazingira salama kwa ...
13/09/2021

ASALI YA NYUKI WADOGO

Kwanini ununue asali kwetu??

1. Unapata asali halisi

2. Asali iliyoandaliwa ktk mazingira salama kwa afya yako

3. Asali inayoendana na thamani ya pesa yako.

BEI ZETU:

Lita 1 ni 36,000

Nusu lita ni 14,000

KARIBUNI
0753504470
0713892438

29/07/2021
29/07/2021

Karibuni kwa Asali Mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo. Agiza tutakuletea
0713892438/0753504470

23/07/2021

Address

Iyela
Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr. Asali Mbichi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mr. Asali Mbichi:

Share