Shabiki Plus

Shabiki Plus Ukurasa pekee wa Shabiki tuuuu!! MOBILE ACCESSORIES
Powerbanks
Earphones & Headsets
Cases & Screen Protections
Batteries & Adaptators

31/05/2025
18/05/2025

UONGOZI wa Simba baada ya kupata taarifa ya kubadilishwa ghafla kwa uwanja ambao utatumika kwa mechi yao ya nyumbani ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, ulifanya kikao kizito Morocco kujadili jambo hilo.
Kikao hicho kilimalizika kwa azimio la kuandika barua nzito kwa
CAF kwa lengo la kuona k**a itaweza kulishawishi kurudisha mechi uwanja ambao ulipangwa ichezwe awali. Katika barua hiyo ambayo tayari imeshatua CAF, Simba imeandika ikihoji uamuzi wa shirikisho hilo kuhamisha mechi ya marudiano ya fainali kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam hadi New Amaan Complex, Zanzibar. Simba imetoa hoja tatu nzito za kuionyesha CAF kuwa uamuzi wa kubadili uwanja haukuwa sahihi.
Hoja ya kwanza ambayo Simba imeitumia katika barua yake ya kuonyesha mashaka kwa uamuzi wa CAF ni kukiukwa kwa kanuni ya 9(3) ya mashindano hayo juu ya utaratibu wa kufuatwa katika kufanya mabadiliko ya uwanja. Kanuni hiyo inafafanua hivi: "Eneo, tarehe na muda wa kuanza mchezo wa mechi za makundi, robo fainali, nusu fainali na fainali unapangwa na k**ati ya mashindano ya klabu ya CAF baada ya kushauriana na shirikisho mwenyeji.
Simba imejiridhisha kuwa hakukuwa na mashauriano yoyote ambayo yalifanyika kabla ya uamuzi huo na badala yake k**ati ya mashindano ya klabu ya CAF iliamua yenyewe kuipeleka mechi hiyo Zanzibar kwenye Uwanja wa New Amaan Complex bila kufanya mashauriano na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
"Tumejiridhisha kuwa uamuzi ulifanyika bila kufanyika mashauriano. Kwa vile kabla ya hapo hakukuwa na angalizo lolote kutoka CAF kuhusu uwanja na hata TFF yenyewe haikufanya mawasiliano na CAF juu ya suala la uwanja maana ni lazima pia yahusishe klabu mwenyeji na serikali," amefichua mmoja wa vigogo wa Simba.
Hoja ya pili ambayo Simba imeiweka kwenye barua yake kwa CAF ni kwamba tayari ilishaanza mchakato wa kuuza tiketi za mchezo huo ambapo hadi sasa imeuza zaidi ya 20,000, namba ambayo ni kubwa zaidi ya idadi rasmi ya mashabiki wanaopaswa kuingia katika Uwanja wa New Amaan ambao unaingiza mashabiki 15,000 tu hivyo Simba inahoji ipi itakuwa hatima

20/04/2025
Brand New iPhone X 64GB 900K tu, 256GB 1,050,000 tu.
31/08/2021

Brand New iPhone X 64GB 900K tu, 256GB 1,050,000 tu.

JBL ORIGINAL SPEAKERSJBL Flip 5 - tsh 350,000/=
30/08/2021

JBL ORIGINAL SPEAKERS

JBL Flip 5 - tsh 350,000/=

JBL ORIGINAL SPEAKERSJBL Charge 5 - tsh 750,000
30/08/2021

JBL ORIGINAL SPEAKERS

JBL Charge 5 - tsh 750,000

JBL ORIGINAL SPEAKERSJBL Tune 500 - tsh 280,000/=JBL Flip 5 - tsh 350,000/=JBL Charge 4 - tsh 450,000/=JBL Charge 5 - ts...
28/08/2021

JBL ORIGINAL SPEAKERS

JBL Tune 500 - tsh 280,000/=
JBL Flip 5 - tsh 350,000/=
JBL Charge 4 - tsh 450,000/=
JBL Charge 5 - tsh 750,000/=

External HD Used500GBTZS 55,000/-Ubuntu Riverside
25/08/2021

External HD Used
500GB
TZS 55,000/-
Ubuntu Riverside

Address

Kinondoni
61294

Telephone

+255 688 500 321

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shabiki Plus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Shabiki Plus:

Share