23/01/2026
Biashara ya logistics na ujenzi inahitaji magari na mashine imara ili kuepuka changamoto za matengenezo ya mara kwa mara, gharama kubwa za ununuzi lakini pia muda wa uwasilishwaji wa gari au mashine yako, mambo ambayo yanayoweza kuathiri shughuli zako…
Sasa, sisi TRAX TRADING COMPANY tumekuja na suluhisho kwa ajili yako….
1. Tunaagiza na kuuza magari na mashine mbalimbali zenye ubora kwa maana ya magari ya kibiashara k**a mabasi malori pamoja na magari binafsi pia na mashine nzito zenye ubora k**a excavators, rollers, dozers na zinginezo.
2. Tunafanya ukaguzi kabla ya kusafirisha ili kuthibitisha na kuhakikisha uimara na ubora wa gari au mashine yako.
3. Tunashughulikia clearance na delivery hadi mahali unapohitaji mteja wetu.
Gharama zetu ni nafuu na unaweza lipa kwa awamu…
Tunapatikana Magoneni Kanisani-Dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia 0622726182